Alama hiyo hapo juu na maandishi yake ya PARK AT YOUR OWN RISK siyo ngeni kwani tumekuwa tukikutana nayo sehemu mbalimbali kama vile kwenye majengo ya ibada, kumbi za starehe, sehemu za vinywaji kama vile bar, n.k.
Je, maandishi ya hapo chini umewahi kukutana nayo wapi na yanamaanisha nini? Naomba maoni yako.
2FLAG
No comments:
Post a Comment