Wednesday, September 10, 2008

SAMAHANI WANABLOG

Napenda kuwaomba samahani wanablog kwasababu nimekuwa kimya kwa muda sasa. Sababu mojawapo ni kwamba kwa kipindi kisichopungua wiki moja iliyopita nilikuwa na dharura kiasi ambacho nimeshindwa kuwawekea matoleo mapya kwenye blog hii. Hata hivyo, hali hiyo inaweza kuendelea kwa siku kadhaa na pindi nitakapomaliza dharura zangu nitaendelea kuwapatia mada mbalimbali kama kawaida. Naomba uvumilivu wenu, tafadhali.

2flag.

No comments: