Tuesday, August 26, 2008

UMEWAHI KUONA MAANDISHI HAYA MAHALA POPOTE?

Alama hiyo hapo juu na maandishi yake ya PARK AT YOUR OWN RISK siyo ngeni kwani tumekuwa tukikutana nayo sehemu mbalimbali kama vile kwenye majengo ya ibada, kumbi za starehe, sehemu za vinywaji kama vile bar, n.k.
Je, maandishi ya hapo chini umewahi kukutana nayo wapi na yanamaanisha nini? Naomba maoni yako.

EAT AT YOUR OWN RISK



2FLAG




No comments: